Dekorationsartikel gehören nicht zum Leistungsumfang.
Penzi la Damu
Taschenbuch von Anna Samwel Manyanza
Sprache: Swahili

24,20 €*

inkl. MwSt.

Versandkostenfrei per Post / DHL

Lieferzeit 4-7 Werktage

Kategorien:
Beschreibung
Mstahamilivu hula mbivu, mtaka cha uvunguni sharti ainame, na mchumia juani hulia kivulini. Ni machache ya maadili yamuongozayo binti Malaika katika safari yake ya kutimiza ndoto zake. Kujiendeleza kielimu ndiyo ndoto yake kuu. Kwa vile Mungu hamtupi mja wake, anabahatika kwenda ughaibuni kitaaluma. Ni safari inayomtenganisha na mpenzi wake, Ben. Lakini Ben anaahidi kumsubiri hadi afuzu masomo yake. Katika kipindi hiki cha utengano, dunia inawapangia mambo mengine kabisa, ni utengano unaotishia kulisumu penzi lao. Majaribu hayeshi, vishawishi ni vingi. Penzi lao linayumba, linatishia kudumbukia kwenye dimbwi la damu. Lakini Malaika haliachii penzi lake kwa Ben, analipigania kishujaa. Ben pia anaingia vitani kulipigania penzi la Malaika. Je, watashinda vita hivi vya kimapenzi?
Mstahamilivu hula mbivu, mtaka cha uvunguni sharti ainame, na mchumia juani hulia kivulini. Ni machache ya maadili yamuongozayo binti Malaika katika safari yake ya kutimiza ndoto zake. Kujiendeleza kielimu ndiyo ndoto yake kuu. Kwa vile Mungu hamtupi mja wake, anabahatika kwenda ughaibuni kitaaluma. Ni safari inayomtenganisha na mpenzi wake, Ben. Lakini Ben anaahidi kumsubiri hadi afuzu masomo yake. Katika kipindi hiki cha utengano, dunia inawapangia mambo mengine kabisa, ni utengano unaotishia kulisumu penzi lao. Majaribu hayeshi, vishawishi ni vingi. Penzi lao linayumba, linatishia kudumbukia kwenye dimbwi la damu. Lakini Malaika haliachii penzi lake kwa Ben, analipigania kishujaa. Ben pia anaingia vitani kulipigania penzi la Malaika. Je, watashinda vita hivi vya kimapenzi?
Über den Autor
Anna Manyanza ni mwanafasihi wa riwaya na hekaya za watoto. Riwaya yake ya kwanza, 'Penzi La Damu', imeshinda Tuzo ya Kiswahili ya Mabati -Cornell ya Fasihi ya Afrika, mwaka 2015.
Details
Erscheinungsjahr: 2022
Genre: Science Fiction & Fantasy
Rubrik: Belletristik
Medium: Taschenbuch
Seiten: 184
ISBN-13: 9789987753680
ISBN-10: 998775368X
Sprache: Swahili
Ausstattung / Beilage: Paperback
Einband: Kartoniert / Broschiert
Autor: Manyanza, Anna Samwel
Hersteller: Mkuki Na Nyota Publishers
Maße: 229 x 152 x 12 mm
Von/Mit: Anna Samwel Manyanza
Erscheinungsdatum: 22.09.2022
Gewicht: 0,308 kg
preigu-id: 124037364
Über den Autor
Anna Manyanza ni mwanafasihi wa riwaya na hekaya za watoto. Riwaya yake ya kwanza, 'Penzi La Damu', imeshinda Tuzo ya Kiswahili ya Mabati -Cornell ya Fasihi ya Afrika, mwaka 2015.
Details
Erscheinungsjahr: 2022
Genre: Science Fiction & Fantasy
Rubrik: Belletristik
Medium: Taschenbuch
Seiten: 184
ISBN-13: 9789987753680
ISBN-10: 998775368X
Sprache: Swahili
Ausstattung / Beilage: Paperback
Einband: Kartoniert / Broschiert
Autor: Manyanza, Anna Samwel
Hersteller: Mkuki Na Nyota Publishers
Maße: 229 x 152 x 12 mm
Von/Mit: Anna Samwel Manyanza
Erscheinungsdatum: 22.09.2022
Gewicht: 0,308 kg
preigu-id: 124037364
Warnhinweis